Sumaye aungana na Katibu Mkuu wa CCM

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally na Waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye.

Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Fredrick Sumaye ameunga mkono kauli ya Katibu Mkuu  wa CCM, Dkt. Bashiru Ally ya kuwa vitendo vya rushwa na kutowajibika vinasababisha watu kupuuzia uchaguzi na kuuona kama ni maigizo akidai kuwa kauli hiyo ni marudio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS