Achana na matokeo, Man United yakimbiza Ulaya

Suala la matokeo limekuwa ndiyo gumzo kubwa hivi sasa kwa klabu ya Manchester United, ambapo mpaka sasa imeshinda michezo minne pekee katika ligi msimu huu, ikipoteza michezo mitatu na sare moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS