Kocha apiga stop wachezaji kupiga 'Selfie'

Kocha wa Spurs, Mauricio Pochettino na wachezaji wa Spurs na Arsenal wakiwa uwanjani.

Inaelezwa kuwa kocha wa klabu ya Tottenham Hortspurs, Mauricio Pochettino amewaeleza wachezaji wake kuwa hafurahishwi na kitendo cha wachezaji kupiga picha za 'Selfie' katika vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa hawajashinda kombe lolote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS