Polisi Mwanza yatoa neno kuhusu pesa bandia

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jonathan Shanna

Watu watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa kosa la kukutwa na noti bandia zenye thamani ya shilingi 2,830,000 pamoja na vifaa mbalimbali vya kutengenezea fedha hizo katika mtaa wa kiloleli B kata ya nyasaka wilayani ilemela, kitendo ambacho ni kosa la jinai.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS