Magufuli ataka jina libadilishwe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameitaka mamlaka inayosimamia ujenzi wa wa Daraja la Selander kubadilisha jina hilo na kutoliita kwa jina la mtu, badala yake wanapaswa kubuni jina ambalo litaitangaza Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS