"Mtanzania akikamatwa hatutamtetea" - Waziri

Waziri wa Mifugo, na Uvuvi Luhaga Mpina

Waziri wa Mifugo, na Uvuvi Luhaga Mpina amesema wizara yake haitamvumilia mwananchi yeyote ambaye atathibitika kuvunja sheria ambazo zinalinda rasilimali ikiwemo mifugo na uvuvi, lengo ni kuzifanya rasilimali hizo zimnufaishe kila mmoja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS