Halima Mdee atimkia Burundi

Mbunge wa Jimbo la Kawe (CHADEMA), Halima Mdee.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia mbunge wa Jimbo la Kawe (CHADEMA), Halima Mdee kuendelea na majukumu yake ya ubunge nje ya nchi yaliyomfanya ashindwe kufika mahakamani leo Desemba 6, 2018 kwa ajili ya kesi ya jinai inayomkabili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS