Rais Magufuli apokea majina ya kuyakata mishahara

Rais Magfuli

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania ATCL Ladislaus Matindi, ameeleza tayari ameshamkabidhi Rais Magufuli orodha ya majina ya viongozi ambao walikatisha safari zao za ndege katika shirika hilo licha ya kukatiwa tiketi za serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS