''Bongofleva imebeba mizigo ya Bongomovie''
Muigizaji wa filamu Natasha, ambaye pia ni mama mzazi wa msanii Monalisa, amesema anamshukuru Mungu kwenye Bongo Movie, wasichana sasa hawavai nguo fupi na zisizo na maadili kama zamani badala yake kiki na mambo hayo yamehamia kwenye Bongofleva.