Bodi yaja kivingine kwa wanaodaiwa mikopo

Mkurugenzi wa bodi ya mikopo nchini, Abdulrazack Badru .

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, HESLB imekuja na mfumo mpya wa kielektoniki wa ulipaji madeni ya waliyokuwa wanufaika wa mikopo, ambapo mfumo huo utajulikana kwa jina la 'Goverment Electronic Payment Getway' (GEGP).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS