Mwinyi Zahera atangaza jeuri ya usajili Yanga

Benchi la ufundi la Yanga

Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera ameweka wazi kuwa anahitaji sahihi za wachezaji kadhaa kutoka klabu ya Kariobangi Sharks ili kuimarisha nafasi mbalimbali katika kikosi chake hususani eneo la ulinzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS