Msigwa 'amchongea' RC Hapi kwa Waziri Mkuu
Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa ameendeleza vita yake na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi juu ya madai ya kutumia vibaya ofisi yake na kupelekea kushusha ari ya ufanyaji kazi kwa watumishi wa umma mkoani Iringa.

