Rais Samia asisitiza kuwaenzi mashujaa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaomba watanzania kuendeleza uzalendo kwa kulinda uhuru, amani na mshikamano waliouacha mashujaa kwa taifa. Read more about Rais Samia asisitiza kuwaenzi mashujaa