''Tunafahamu Raphael alipo'' - Zitto Kabwe

Zitto Kabwe

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema anazo taarifa juu ya wapi alipo kijana Raphael Ongangi aliyetekwa Juni 24, 2019,  huku akiwataka watekaji kumwachia kwani vitendo hivyo ni vya kishamba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS