JPM aagiza kigogo aliyesimamishwa arudi kazini Rais Magufuli na Dkt. James Mataragio. Rais Magufuli ameagiza Dkt. James Mataragio arejeshwe katika nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), baada ya kusimamishwa kazi tangu Agosti 2016. Read more about JPM aagiza kigogo aliyesimamishwa arudi kazini