Mkutano SADC : Tanzania yapongezwa kwenye hili
Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya SADCDr. Stergomena Lawrence ameipongeza Tanzania kuwa nchi pekee ambayo imeongoza kwa kukidhi vigezo vya ukuaji wa uchumi, kwa kufikia asilimia 7, ikiwa ni tofauti na nchi nyingine.

.jpeg?itok=OjAqfDup)