Nembo ya Benki yatengenezwa kwa Mil. 495

Uzinduzi wa nembo ya Bank ya Posta (TPB).

Kufuatia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),  Profesa Mussa Assad ya mwaka wa fedha 2017/2018, aliyoiwasilisha Bungeni mapema mwa mwaka 2019, iliyoeleza gharama ya utengenezaji wa nembo ya Benki ya TPB, imekuja na sura mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS