Alichokisema Mtatiro baada ya kuteuliwa na Rais
Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Chama Cha wananchi (CUF) Julius Mtatiro, ambaye alitangaza kuhamia CCM kutokana na chama chake cha CUF kukabiliwa na migogoro ya kiuongozi.