Waziri Mkuu amsimamisha kazi Afisa wa Serikali Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mhandisi wa Maji wa Wilaya ya Same, Mussa Msangi kwa kosa la kumdanganya kuhusu mradi wa maji aliouzindua leo katika kata ya Hedaru. Read more about Waziri Mkuu amsimamisha kazi Afisa wa Serikali