Waziri Mkuu amsimamisha kazi Afisa wa Serikali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mhandisi wa Maji wa Wilaya ya Same, Mussa Msangi kwa kosa la kumdanganya kuhusu mradi wa maji aliouzindua leo katika kata ya Hedaru.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS