Sugu afunga ndoa na mpenzi wake,wabunge wampongeza
Joseph Mbilinyi na mke wake Happiness Msonga
Mbunge wa Mbeya mjini Mh. Joseph Mbilinyi 'Mr.II Sugu' leo tarehe 31/08, 2019, amefunga ndoa na mpenzi wake Happiness Msonga, katika kanisa Katoliki Ruanda Jijini Mbeya.