Mtatiro aanza kivingine Tunduru

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Julius Mtatiro, amewakaribisha wawekezaji nchi nzima kujitokeza kuwekeza wilayani Tunduru, akisema kuwa Wilaya yake imetenga kiasi kikubwa cha ardhi kwa uwekezaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS