'Siasa za kuabudu watu ni ushirikina' -Dkt Bashiru

Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dkt Bashiru Ally.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt Bashiru Ally, amewataka wanachama wa chama hicho kuacha siasa za kuabudu watu badala ya chama, kwani kufanya hivyo ni kutekeleza siasa za kishirikina. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS