Sita wafariki ajalini Dodoma

Jiji la Dodoma

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Dodoma Dkt. Ernest Ibenzi ameeleza kupokea miili ya watu 6 ambao wamefariki Dunia katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo, katika eneo la Kisasa jijini Dodoma, iliyohusisha gari aina ya Toyota Coaster na Lori.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS