Ommy Dimpoz adai hawachukii mastaa wa kike Bongo

Msanii wa Muziki nchini Tanzania, Ommy Dimpoz

Staa wa BongoFleva Ommy Dimpoz, amefunguka kuwa yeye sio mtu wa kuweka mahusiano yake wazi, pia hana matatizo yoyote na mastaa wa kike Bongo, japokuwa huwa haonekani akiwa nao karibu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS