Messi sasa awa kinara wa Ballon d'Or Messi akiwa na tuzo zake 6 za Ballon d'Or Usiku wa kuamia leo Desemba 3, 2019, jijini Paris Ufaransa zilitolewa tuzo za Ballon d'Or, ambapo katika tuzo ya mchezaji bora, mshindi aliibuka nyota wa Barcelona na Argentina Lionel Messi. Read more about Messi sasa awa kinara wa Ballon d'Or