33 wakamatwa kwa wizi wa Mafuta Kiwandani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa.

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro, linawashikiliwa watu 33 kwa tuhuma za wizi wa Mafuta, yanayotumika kuendeshea mitambo katika Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa na mabomba yanayotumika kumwagilia mashamba ya Miwa kiwandani hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS