Ni majonzi, Mama wa Erick Kabendera afariki Dunia

Mama Mzazi wa Mwandishi wa Habari, Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi, wakati wa uhai wake.

Mama Mzazi wa Mwandishi wa Habari za Uchunguzi, Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi, amefariki Dunia leo Disemba 31, 2019, katika Hospitali ya Amana Jijini Dar es Salaam, alipokuwa akipatiwa matibabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS