'Wafanye kabla ya Urais wangu kuisha' - Magufuli

Rais Magufuli

Rais Magufuli ameeleza kuwa alifanya juhudi za makusudi kwa kumtumia Ofisa Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Patrick Mfugale, kukamilisha mchoro wa daraja la juu kwenye ziwa Victoria eneo la Kigongo Busisi lenye urefu KM 3.2.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS