"Ali Kiba akikataa, asije nikifa" - Haji Manara

Haji Manara upande wa (kushoto) na msanii Alikiba upande wa (kulia).

Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara, ametangaza kuwa endapo msanii wa BongoFleva Ali Kiba akishindwa kuimba kwenye harusi yake basi hata akifa asiende kumzika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS