Wagombea wa Ubunge na Udiwani CCM wapewa onyo

Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Manyoni, Jumanne Ismail.

Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Manyoni, Mkoani Singida, kimepiga marufuku watu wote wenye nia ya kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi Mkuu ujao, ikiwemo nafasi ya udiwani na Ubunge, ambao wamekuwa wakivunja kanuni za chama hicho kwa kujipeleka kwa wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS