Mtoto wa miaka 8 aingiza bilioni 59 kwenye YouTube Ryan Kaji Mtoto mwenye umri wa miaka nane, Ryan Kaji ambaye ni mzaliwa wa Marekani ametajwa na jarida la Forbes kuwa ndiye aliyeingiza pesa nyingi katika mtandao wa YouTube kwa mwaka 2019. Read more about Mtoto wa miaka 8 aingiza bilioni 59 kwenye YouTube