Nugaz ataja mbinu ya kocha wa Yanga kutoa mazoezi

Afisa Mhamasishaji na Msemaji wa Yanga, Antonio Nugaz

Afisa Mhamasishaji na Msemaji wa klabu ya Yanga, Antonio Nugaz ametaja njia inayotumika na kocha wa klabu hiyo, Luc Eymael katika kutoa mpangilio wa mazoezi pamoja na ufuatiliaji wa wachezaji katika kipindi hiki cha janga la Corona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS