"Unaikumbuka saa 7 mchana" - Simba SC Picha ya kikosi cha Simba SC 2019/2020 Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Klabu ya Simba SC, imetangaza kufanya jambo kubwa na la kihistoria siku ya Jumamosi Mei 23, 2020 ifikapo saa 7:00 mchana. Read more about "Unaikumbuka saa 7 mchana" - Simba SC