"Unaikumbuka saa 7 mchana" - Simba SC

Picha ya kikosi cha Simba SC 2019/2020

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Klabu ya Simba SC, imetangaza kufanya jambo kubwa na la kihistoria siku ya Jumamosi Mei 23, 2020 ifikapo saa 7:00 mchana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS