Walichokubaliana CCM kuhusu Ilani ya Uchaguzi

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 10 Juni 2020.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. Magufuli leo Juni 10, 2020 ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika Chamwino mkoani Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS