Harmorapa amgomea Harmonize "Haiwezi kutokea"
Kufuatia madai ya kublokiwa kwenye mtandao wa Instagram na msanii Harmonize, Harmorapa amekataa kumuomba msamaha ili kwenda sawa, kwa kusema suala hilo haliwezi kutokea kwani hakuna jambo ambalo amemkosea.

