Harmorapa amgomea Harmonize "Haiwezi kutokea"

Kushoto pichani ni Harmorapa, kulia ni Harmonize

Kufuatia madai ya kublokiwa kwenye mtandao wa Instagram na msanii Harmonize,  Harmorapa amekataa kumuomba msamaha ili kwenda sawa, kwa kusema suala hilo haliwezi kutokea kwani hakuna jambo ambalo amemkosea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS