Mbowe aeleza anavyomfahamu Ndugai "Muombeeni"
Mwenyekiti Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewaomba Watanzania kumuombea sana Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai kwa kuwa anaenda kumaliza kipindi chake cha mwisho cha wadhifa huo.