Huduma ya kuvunja mawe kwenye Figo yaanza

Muonekano wa mawe baada ya kuvunjwa mithili ya mchanga yaliyotoka kupitia njia ya haja ndogo.

Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imeanza kutoa huduma ya matibabu ya kuvunja mawe kwenye figo na mfumo wa mkojo kwa njia ya mawimbi mshituko kwa kitaalam Extracorporeal shock wave lithotripsy (ESWL).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS