Kigogo CCM, amkalia kooni Wakili Msando

Diwani wa Kata ya Machame Magharibi, Martin Munisi

Diwani wa Machame Magharibi kupitia Chama cha Mapinduzi Martin Munisi, amemkosoa Wakili Albert Msando kufuatia kauli yake ya kuwataka waandishi wa habari watoke na kutoa taarifa za Corona na kwamba Arusha hali ni mbaya ili hali hata yeye hakuwa amezingatia tahadhari yoyote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS