"Mwenye ndugu jambazi aende Muhimbili" - Mambosasa
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wale watu ambao wana ndugu zao majambazi na wanajua kabisa walienda kutafuta lakini hawajarudi, basi waende Muhimbili kwa ajili ya kutambua miili ya ndugu zao.