"Ukitaka kuoa lazima uwe na kazi" -Charles Nduku

Mtaalam wa Masuala ya Biashara, Charles Nduku

Mtaalam wa masuala ya biashara Charles Nduku, amesema kuwa mwanaume yeyote ambaye anataka kuoa ni lazima awe na kazi ambayo itamuwezesha kumudu gharama za maisha na kuisimamia vyema familia yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS