"Ukitaka kuoa lazima uwe na kazi" -Charles Nduku Mtaalam wa Masuala ya Biashara, Charles Nduku Mtaalam wa masuala ya biashara Charles Nduku, amesema kuwa mwanaume yeyote ambaye anataka kuoa ni lazima awe na kazi ambayo itamuwezesha kumudu gharama za maisha na kuisimamia vyema familia yake. Read more about "Ukitaka kuoa lazima uwe na kazi" -Charles Nduku