Msigwa atangaza rasmi nia kuwania Urais 2020 Mchungaji Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa ametangaza rasmi nia yake ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 2020. Read more about Msigwa atangaza rasmi nia kuwania Urais 2020