Mzee afanyiwa tambiko baada ya kufumaniwa

Gari la polisi lililoenda kumuokoa baada ya tukio hilo

Mzee wa miaka 84 kutoka kaunti ya Bungoma nchini Kenya amelazimika kufanyiwa tambiko la kuchinjiwa kondoo baada ya kufumaniwa na mkwe wake wakifanya mapenzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS