Alieuawa na mume wake azikwa.

Mwili wa Amina Hassan (34) aliefariki kwa kuchomwa visu sehemu mbalimbali za mwili na mume wake Mashaka Jeremia umeagwa leo kwenye makazi yake mtaa wa Lukilini kata ya Kalangalala mkoani Geita na kusafirishwa mkoani Dodoma kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika wilayani Chamwino.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS