Muasisi wa CHADEMA azikwa leo Arush

Waziri Mkuu Tanzania na Mwenza wake wakiweka shada kwenye kaburi la mzee Mtei

Waziri Mkuu Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada ya kumuaga aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mzee Edwin Mtei.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS