CHADEMA wahamasisha wananchi kujiandikisha kupiga

Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika akizungumza na wanahabari katika ofisi za makao makuu ya chama hicho mikocheni

Katibu mkuu chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA John Mnyika amewahimiza wananchi na wafuasi wa chama hichi kuhakikisha wanajiandikisha kwa ajili ya kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS