Auwawa akisuluhisha ugomvi wa mapenzi

Wananchi wakiomboleza msibani kwa Akwii alie uwawa kwa kupigwa kwa kitu kinachosadikika kuwa ni nondo kichwani

Mwananchi mmoja aliyefahamika kwa jina la Akwii ambaye ni mlinzi na mkazi wa Kimandolu mkoani Arusha ameuwawa kwa kupigwa na kitu kizuto kilichodhaniwa kuwa nondo mara baada ya kuingilia ugomvi wa mtu na mpenzi wake akitaka kusuluhisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS