Klopp arejea kwenye soka
Klopp alitangaza kupumzika majukumu yake ya ukocha baada ya kuachana na klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu wa 2023-2024, Kampuni ya Red Bull imefanikiwa kumrudisha kwenye soka baada ya kukubali kufanya kazi ya ushauri wa maendeleo ya michezo kwenye timu zote zinazomilikiwa na red Bull