
Geosteady ambaye alikuwa akidaiwa fidia ya shilingi za Uganda milioni 40 kwa kosa hilo, baada ya kukaa chini ya ulinzi kwa muda, amewashangaza wengi kwa kuamua kuendelea mbele na kutumia kazi hii, wakati ambapo inafahamika kuwa hakuna malipo yoyote ya fidia yaliyofanyika.
Hata hivyo, taarifa za chini chini zinasema kuwa, msanii huyu aliachiwa na polisi baada ya kufikia makubaliano fulani na binti wa marehemu Wamala.