
Lakini baada ya kesi hiyo kusomwa kwa mara ya tatu mahakamani hapo, Mahakama iliridhia kutupilia mbali shitaka hilo.
Mahakama kuu ya Cassation nchini Italia, walitupilia mbali kesi hiyo kwa kile wanacho amini ya kuwa kila binadamu anayo haki ya kuishi, na kwenye jamii ambayo imestaharabika ubinadamu ni lazima kiwe kipaombele na hakuna mtu ambaye anapaswa kukabiliwa na njaa.
Unahisi ni wazo zuri ambalo linafaa kuigwa?
Picha: quotesgram.com