![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2023/10/30/AL.jpg?itok=nqoVeYh_×tamp=1698682962)
Adhabu hii imetolewa kufuatia kitendo cha Rubiales kumbusu nyota wa timu ya taifa ya wanawake ya Uhispania Jenni Hermoso, wakati timu ya taifa ya Uhispania walipoibuka washindi wa Kombe la Dunia la Wanawake, Kitendo ambacho kiliibua maswali mengi na kukashifiwa vikali duniani kote.