Meya wa Manispaa ya Kinondoni Songoro Mnyonge
Mnyonge ameyasema hayo kufuatia operesheni iliyofanyika kimyakimya na kubaini uwepo wa nyumba nyingi zinazofanya huduma ya massage na matendo ya ngono zembe.
Meya Songoro amesema madangulo kwa Kinondoni pekee yamegundilika kuwa yapo 512.